EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, March 27, 2015

UNYAMA ULIOJE?


Joseph Ngilisho
Unyama ulioje! Wanawake wanne wanaojiita Kundi la ‘Boko Aramu, hivi karibuni wamemteka msichana mmoja mrembo aitwaye Marry kisha kumfanyia kitu mbaya ikiwa ni pamoja na kumdhuru sehemu zake za siri.
Marry akiwa katika Hospitali ya Mount Meru, baada ya kunusurika kuchinjwa.
Sikia simulizi ya Marry
Akizungumza kwa tabu akiwa katika Hospitali ya Mount Meru, Marry ambaye anamiliki saluni ya kike alisema, chanzo cha kufanyiwa hivyo ni wivu wa mapenzi huku akimtaja rafiki yake wa karibu aitwaye Maurin kuhusika.

Alisema, siku ya tukio akiwa ndani ya saluni yake alifika Maurin na kumtaka aende kwenye chumba chake kuna jambo akamsaidie lakini alipofika huko akashangaa anataitiwa.
“Ilikuwa saa mbili usiku, alikuja Maurin na kuniomba niende katika chumba chake, nilipofika tu mlangoni kwake akanisukumia kitandani, mara nikaona kundi la wanawake likinivamia na kuanza kunishambulia.
“Walinipiga sana, baadaye walinivua nguo zote na kunilaza kitandani kisha mmoja akanifanyika kitendo cha kikatili ambacho siwezi hata kukisimulia.

Baadhi ya ndugu wa Marry wakiwa katika kituo cha polisi.
Niliumia sana, nikapiga kelele sana lakini hawakuniachia,” alisema Marry na kuongeza:
“Walizidi kunikandamiza, nahisi lengo lao ilikuwa ni kuniua. Mara mwanamke mmoja akaniuliza kwa nini natembea na bwana wa Maurin. Nikashangaa kusikia maneno hayo. Nikawaambia Maurin ni rafiki yangu na wala huyo bwana wake simjui. Basi wakazidi kunipiga.
“Mmoja akachukua kisu na kuniwekea shingoni, mwingine akachukua kichupa ambacho nahisi kilikuwa na tindikali, ikabidi nijilazimishe kuamka na kuwapigia magoti wasiniue.“Wakakubali kunisamahe lakini wakadai niwalipe gharama zao kwani wametoka Dar kuja kuniua. Nikawaambia sikuwa na fedha, wakaitana pembeni kisha wakaondoka na kuniacha pale nikiwa na maumivu.
“Walipoondoka tu nikaanza kupiga kelele na ndipo watu walipokuja kunipa msaada kisha tukaenda kutoa taarifa katika kituo kikuu cha polisi na kufungua jalada la kesi lenye namba AR /RB /3717/2015,” alisema Marry.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, Edward Balele alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa mpaka sasa jeshi hilo linawashikilia wanawake wawili kati ya wanne waliohusika kumtendea unyama dada huyo.
CHANZO: GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate