EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, February 27, 2015

MAIMARTHA AFUNGUKIA MAMBO YA CHUMBANI ZAIDI


Wiki hii kupitia safu hii tunaye Maimartha Jesse ‘Mai’ ambaye ni mtangazaji na mjasiriamali. Mwandishi wetu Hamida Hassan alimbana kwa maswali 10 mengi yakiwa yanahusu mambo ya chumbani zaidi, ungana naye…
Mtangazaji na mjasiriamali Maimartha Jesse ‘Mai’.
TQ: Ni chakula gani kizuri ambacho ukimpikia mumeo anasikia raha?
Mai: Mume wangu ni mpenzi sana wa wali samaki au ugali samaki, sambamba na vikorombwezo vingine.
TQ: Ukiwa sebuleni na mumeo mkiangalia vipindi mbalimbali vya televisheni ni mavazi gani unavaa na mapozi gani mnakaa?

Mai: Huwa tunakaa kwa heshima tu kwa sababu nina familia na wakati wote inakuwa karibu yetu.
TQ: Vipi uwapo chumbani na mumeo unapendelea kumtega kwa mavazi gani au nakshi zipi?
Mai: Kiukweli kule hakuna kuvaa nguo, ni cheni ya kiunoni, vikuku mguuni kwani tunakuwa wawili tu. Si unajua tena pale ndiyo eneo la kujidai na laazizi wangu?
TQ: Kwa mapenzi hayo mnayooneshana, siku ikitokea umemfumania mumeo na mwanamke mzuri kuliko wewe, utachukua uamuzi gani?
Mai: Siwezi kumuacha mume wangu kwa sababu jiji hili lina wanawake wabaya ambao wanajipeleka wao kwa wanaume. Nitakachokifanya ni kumvalisha mume wangu nguo kisha namrudisha nyumbani. Nikifika namuandalia juisi bariiidi. Baada ya hapo nitaenda kumalizana na mwizi wangu.
TQ: Utamfanya nini huyo mwizi wako?
Mai: Ukweli ajiandae kwa viwembe kwani nitahakikisha nimemchakaza sura yake, akitoka hapo akiona mume wa mtu atamuogopa kama ukoma.TQ: Inasemekana una hausigeli mkali sana, vipi siku mumeo uzalendo ukimshinda na ukawakuta kwenye kitanda mnacholala?
Mai: Hilo haliwezi kutokea. Unajua nimeshamsoma mume wangu na kugundua hawezi kujivunjia heshima yake kwa kutembea na mfanyakazi wetu, ila siku ikitokea ndiyo nitajua cha kufanya.
TQ: Kuna haka kaskendo ka’ mastaa wengi kujihusisha na usagaji? Wewe umeshawahi kushiriki kwa namna yoyote?
Mai: Huo ni uchafu, anayefanya hivyo maisha yamemshinda, hutasikia hata siku moja mimi nimefanya ujinga huo.
TQ: Inadaiwa wewe kwa kuchepuka ni noma na una kidumu chako (mwanaume wa pembeni), taarifa hizi zina ukweli wowote?
Mai: Heshima niliyonayo kwa kuitwa mke wa mtu siwezi kuitia doa, najiheshimu sana kuliko watu wanavyofikiria. Huwezi kuamini mimi nawashangaa sana wanaochepuka.
TQ: Kabla ya ndoa umewahi kutoka na wanaume wangapi?
Mai: Kiukweli idadi ipo ila sipendi kuitaja kwa kuwa nahisi nitamkwaza mume wangu .
TQ: Kuna madai kuwa shepu uliyonayo Mchina anahusika sana, hebu funguka.
Mai: Hayo ni mambo yangu binafsi sipendi kuyaongelea bwana, kila mmoja ana maisha yake aliyoyachagua.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate