EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, November 19, 2014

NABII: URAIS 2015 BALAA!

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
NABII wa Kanisa la The Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera amesema uchaguzi mkuu ujao utakuwa balaa kubwa kufuatia maono anayoyaona wakati akishiriki ibada katika nyakati mbalimbali, Risasi Jumatano linakupa mkanda kamili.
Nbii wa Kanisa la The Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera.
Akizungumza wakati wa ibada kanisani kwake na baadaye na waandishi wetu Novemba 16 mwaka huu, Nabii Yaspi alisema kuna mgongano mkubwa miongoni mwa watu wanaotajwa kugombea urais, ili kumrithi rais Jakaya Kikwete ambaye alimwelezea kama kiongozi anayemuona kiroho kila mara.

“Nilimuona katika maono yangu kama mtu aliye kwenye majaribu makubwa kiroho, nikaandaa maombi hapa kanisani na tukamuombea kwa muda wa nusu saa na tunashukuru Mungu hali yake inaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume nchini Marekani. Bado namuona akiwa na maumivu kuanzia sehemu za kiuno, uti wa mgongo na shingoni mwake.
Mhe. Edward Lowasa.
“Hivi sasa ninapomuombea atasikia moto unawaka na kupita kwenye sehemu hizo na kuwa mzima kabisa. Tunamuombea baraka na uzima rais ili aweze kukabidhi madaraka vizuri kwa rais ajae,”alisema Nabii huyo na kuongeza kuwa alilazimika kumuombea rais ili asipatwe na madhara kwani kama hali hiyo ingetokea, kungekuwa na vurugu kubwa kuelekea wakati wa Uchaguzi mkuu.
Waandishi wetu waliokuwa eneo la tukio walimshuhudia Nabii Yaspi akiwa ameshika picha ya Rais na waumini wake wakizama katika maombi kwa ajili ya Rais Kikwete huku na walipomaliza alisema tatizo lake limemalizika.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Kana kwamba haitoshi, Nabii huyo alisema baadhi ya wagombea urais wanapita kwa waganga wa kienyeji lakini akasema hawatafanikiwa kwa kuwa yeye anaomba Rais ajaye atoke kwa Mungu kwa kuwa yeye atakuwa nyuma ya mgombea huyo bila kujali chama anachotoka.
Nje ya ukumbi wa kanisa, Nabii huyo alizungumza na waandishi wetu ambao walimuuliza kuhusu jinsi anavyoona kuelekea uchaguzi mkuu wa mwakani.Vipi kuhusu utafiti wa Twaweza
Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba.
Kuhusu utafiti uliotolewa hivi karibuni kuhusiana na uchaguzi mkuu kama ulivyowasilishwa na taasisi ya Twaweza, ambao umewagawa wananchi, Nabii huyo alisema anaunga mkono kwani umefanywa kwa usahihi kwa vile ndivyo hata yeye anavyoona.
“Utafiti umefanywa vizuri na nadhani kila kitu kipo kama kilivyoainishwa, lakini kama walivyosema wenyewe kwenye ripoti yao, upepo unaweza kubadilika wakati wowote maana miujiza ya Mungu huja bila kutarajiwa,” alisema.Nani atashinda Urais?
Wazari wa mambo ya nje Benard Membe.
“Hivi unauliza swali kama hilo kweli wakati huu? Ripoti iliyotolewa imemaliza kila kitu na majibu yako wazi kabisa,” alisema nabii huyo bila kutoa ufafanuzi zaidi.
Utafiti uliotolewa na taasisi hiyo ya Twaweza uliotolewa hivi karibuni, ulisema kuwa endapo Uchaguzi mkuu wan chi ungefanyika hivi sasa, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi, huku akifuatiwa kwa karibu na Waziri Mkuu wa sasa, Mizengo Pinda na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa akiibuka katika nafasi ya tatu.
CHANZO: GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate